KUHUSU SISI. HISTORIA YA VIWAWA PAROKIA CHATI YA SHIRIKA USHUHUDA UANACHAMA WASILIANA NASI
Swahili | English

Maono Yetu, Dhamira, na Maadili ya Msingi

Maono Yetu

Kumwona Kijana Mkatoliki Mfanyakazi anayejimudu katika maisha yake
ya kimwili na kiroho kwa kutumia njia ya Tafakari ya Maisha.

Dhamira

Dhamira ni kwa:

Maadili ya Msingi

Maadili yetu ya Msingi yanatuongoza:

Historia ya VIWAWA - Parokia ya Wazo

VIWAWA ni chama cha kitume cha Vijana Wakatoliki Wafanyakazi ambao wanatumwa na Kanisa ili kueneza habari njema ya kwamba Yesu Kristu ndiye njia ya kweli na uzima kwa vijana wote katika maisha yao ya kila siku. Chama hichi kinawaunganisha vijana na kuwasaidia waone hali yao, kuamua juu yake katika mwanga wa injili na kuwaongoza kufanya matendo ya kubadilisha hali zao na kutengeneza ziwe nzuri zaidi kwa njia ya Tafakari ya Maisha. Parokia ya Wazo ilipandishwa hadhi kuwa Parokia kamili mwaka 2014, kutoka kuwa Kigango kilichokuwa chini ya Parokia ya Tegeta na baadae Parokia ya Mivumoni, VIWAWA wameendelea kuwa chachu ya maendeleo ya Parokia na Kanisa kwa ujumla. Chama hichi huongozwa na vijana wenyewe katika ngazi zote. Hapa chini ni kumbukumbu ya viongozi (Wenyeviti) ngazi ya Parokia wa awamu mbalimbali tokea kuwa Parokia:-

Wenyeviti kwa Awamu (Picha)

CHATI YA SHIRIKA LA VIJANA PAROKIA: 👇

Paroko/Father
Kamati Tendaji Parokia
Baba na Mama Mlezi
Kamati Tendaji Viwawa Parokia
Kamati Ndogondogo
Halmashauri ya Viwawa Parokia
Mkutano Mkuu
Kanda
Jumuiya Ndogondogo

Ushuhuda: 👇

Uje Roho Mtakatifu

Askofu

Mheshimiwa James Mbatia


Ingia kwa Uanachama & Ujisajili:

Wasiliana Nasi: 👇

Instagram

@viwawa_parokia_ya_wazo

Phone

+255 762447496

Email

viwawawazo@gmail.com

Mahali petu